• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua ya Pepe |
Busokelo District Council
Busokelo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Usafishaji na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi na Zima moto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Elimu Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ujenzi na Zima moto

Utangulizi

Idara ya Ujenzi ni miongoni mwa idara na vitengo vinavyoiunda  Halmashauri ya Wilaya Busokelo.

Ilianza kujitegemea rasmi mwaka 2013 baada ya kuanzishwa Halmashauri ya Wilaya  Busokelo, kwani kabla ya hapo ilikuwa chini ya Halmashauri ya Wilaya Rungwe.

Utekelezaji

Idara ina vitengo vifutavyo:

  • Kitengo cha barabara

Kitengo hiki kazi yake kuu ni kuratibu kazi za matengenezo ya barabara za Halmashauri ya Wilaya. Ikumbukwe kuwa, Barabara zilizopokatika Wilaya zimegawanywa katika makundi yafuatayo:

  • Barabara zilizo chini ya wakala wabarabaranchini( TANROADS)

Hizi ni barabara zinazotunzwa na TANROADS. Barabara hizi zina sifa zifuatazo: zinaunganisha makao makuu ya Wilaya na Mkoa, Makao makuu ya Wilaya na Wilaya, au zinaunganisha Wilaya na barabara kuu n.k

  • Barabara zinazohudumiwa na Halmashauri ya Wilaya.

 Katika kundi hili kuna barabara zenye kuwa na sifa zifuatazo: barabara zinazounganisha makao makuu ya kata na Wilaya, kata na kata, Tarafa na kata, barabaraza mijini . Halmashauri ya Wilaya inahudumia mtandao wa barabara zenye urefu wa 510Km .

  • Barabara zinazohudumiwa na jamii( Community roads).

Hizi ni barabara zinazounganisha kijiji na kijiji,kitongoji na kijiji.

Barabara zilizo chini ya jamii zina urefu wa 430Km .

Jukumu kuu la idara ya ujenzi ni kuhakikisha barabara zinazohudumiwa na Halmashauri na Jamii zinaendelea kutengenezwa na kupitika aidha kwa kutoa ushauri katika jamii husika( Community roads) namna bora yakuzifanyia matengenezo barabara hizo.

 Halmashauri ina barabara za mijini(urban roads ) katika miji ya Lwangwa makao makuu ya wilaya na Kandete. Kwa kuwa miji hii inakuwa kwa kasi, ni jukumu la Halmashauri ya Wilaya kupitia idara ya Ujenzi kuhakikisha miundombinu ya barabara inatengenezwa namajengo yanafuata taratibuza mipango miji.

Katika mwaka wa fedha 2015/2016 Halmashauri iliendelea kufungua barabara ili kuboresha huduma za jamii.

Pia Serikali ya Uingereza kupitia shirika lake la maendeleo (DFID) imeweza kufadhili miradi ya Ujenzi wa barabara na madaraja ili kuimarisha sekta ya usafiri vijijini.

  • Kitengo cha majengo

Kazi kubwa ya kitengo hiki ni kusimamia na kuratibu kazi za Majengo ya serikali na jamii. Majengo ya serikali yanayosimamiwa na kitengo hiki ni Majengo ya kutolea huduma za afya, Kilimo, Elimu, Utawala. N.k. Hata hivyo, ushauri kwa wananchi wanaopenda kujenga nyumba za bei nafuu na imara      (zenye Kufuata taratibu za Kihandisi) umekuwa ukitolewa ili kuwa na majengo yenye tija. Sambamba na hilo kwa kushirikiana na idara ya ardhi tumeanzisha utaratibu wa kupitia michoro kwa kila mwananchi anayetaka kujenga nyumba yake katika mji wa Lwangwa na kandete ili kuhakikisha Ujenzi unakuwa wenye tija na unaofuata taratibu za mipango miji.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 05, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSOKELO May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSOKELO June 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WAH. MADIWANI,MKURUGENZI PAMOJA NA BAADHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA BUSOKELO WAMETEMBELEA BUNGENI

    May 24, 2022
  • VIKUNDI 24 VYA WANAWAKE NA VIJANA VYAKABIDHIWA MIKOPO KIASI CHA MILIONI 118,500,000

    April 29, 2022
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 23, 2022
  • KAMATI YA FEDHA ,UTAWALA NA MIPANGO IMEKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA

    March 05, 2022
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Watumishi Portal
  • Hati ya Mshahara
  • Orodha ya Madiwani
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Rais
  • Tovuti ya Mkoa wa Mbeya
  • Sekretarieti ya Ajira

Kipimo cha Wateja duniani

world map hits counter

Wateja waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Lwangwa, Tukuyu

    Anuani ya Posta: S. L. P. 2, Tukuyu

    Simu: +255 737 205 318

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@busokelodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2019 Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo. Haki zote zimehifadhiwa.